MwanzoMatukioSeptemba 2026
Tukio · Septemba 2026

Ziara kwa Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro — Maandalizi ya SHIMIWI 2026

Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Nurdin Babu, akiwakaribisha ofisini kwake viongozi wa Kamati ya Utendaji ya Shirikisho la Michezo ya Wizara, Idara, Wakala za Serikali na Ofisi za Wakuu wa Mikoa (SHIMIWI), walipomtembelea kwa ajili ya maandalizi ya michezo ya SHIMIWI inayotarajiwa kuanza tarehe 19 Septemba na kumalizika Oktoba 7, 2026 mkoani hapo.

Tarehe Septemba 2026
Mahali Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Kilimanjaro
Picha 2 — bonyeza picha kuiona kwa ukubwa kamili
📷 Picha 2 · Ziara kwa Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro — Maandalizi ya SHIMIWI 2026
← Matukio yote Habari →
Matukio Mengine
Tazama Pia